Steve Nyerere Atangaza Ndoa ya Wema Sepetu.


.
Bwana mipango kutoka bongo movies ambae amekuwa akijitolea kukamilisha mambo  mengi ya shida na raha katika tasnia ya sana nchini Steve Nyerere ametangaza ndoa ya mwanadada Wema Sepetu inayotegmewa kufungwa hivi karibuni.

Wema Sepetu ambae hivi karibuni  kumekuwa na tetesi za kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine ambae hata yeye mwenyewe hakutaka kuwaonyesha mashabiki na watu hadharani wanategemea kufunga ndoa hiyo hivi karibuni kwa mujibu wa steve nyerere.

Katika ukurasa wake wa instagram, Stev Nyerere aliweka picha za wawili hao na kuandika “wedding coming  soon”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad