Tetemeko la ardhi latokea Rukwa na Congo

Tetemeko la ardhi latokea Rukwa na Congo
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa  kipimo cha ritcher 4.4 na kina cha Kilomita 10 limetokea katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Rukwa na maeneo ya jirani usiku wa kuamkia leo Agosti 7, 2018 ambalo kiini chake kinaonekana kipo katika Ziwa Tanganyika, Kilometa 23 kutoka kata ya Kirando Wilayani Sumbawanga.



Aidha, katika tukio hilo hakuna madhara yoyote yaliyoripotiwa kutokea.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad