Ugonjwa uliomuua Dada yake Rais Magufuli | Ameacha Mume, Watoto 9

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Gerson Msigwa amesoma wasifu wa Marehemu Monica Joseph Magufuli aliyefariki dunia Jumapili tarehe 19 Agosti, 2018 katika hospitali ya Bugando Jijini Mwanza ambaye amezikwa leo katika makaburi ya familia yaliyopo katika kijiji cha Mlimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita.

Akisoma wasifu huo Msigwa amesema Monica alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Kiharusi kutokana na ukubwa wa ugonjwa alipelekwa Hospitali ya Bugando ambapo ndipo umauti ulimkuta, ameacha Mume na watoto 9.

VIDEO

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad