Ujumbe wa Saed Kubenea Washtua Adai 'Siyo Wote Wanaohama Wananunuliwa' Adaiwa Naye Yupo Njiani

Kubenea ameongea maneno ambayo kidogo yamewashtua baadhi ya watu wakidai labda na yeye yupo mbioni kuhama, Ameandika haya:

"Siyo Wote Wanaohama Wananunuliwa, ingawa ni kweli kuwa wapo baadhi ya waliohama wamenunuliwa, Kuna wengine wamehama Kutokana na kuwapo migogoro, chuki na ubaguzi katika maeneo waliyokuwapo" Kubenea
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad