Vodacom Yajitoa Udhamini Ligi Kuu Bara

Vodacom Yajitoa Udhamini Ligi Kuu Bara
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) kupitia Bodi ya Ligi limeweka wazi kuwa ligi kuu msimu ujao itakuwa na wadhamini wawili ambao ni Azam Pay TV na Benki ya KCB baada ya kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kumaliza mkataba wake.



Kwa mujibu wa barua iliyotumwa na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura, inasema kuwa ligi hiyo itakuwa na wadhanini hao ambapo Azam watakuwa na haki ya matangazo wakati KCB wakiwa ni wadhamini wenza kwenye ligi hiyo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad