Wale Mnaosubiri Kwa Hamu Makonda Atumbuliwe, Mtasubiri Sana!. Ukiwa ni Mpakwa Mafuta, Ni Mpakwa Mafuta!.


Jana baada ya Rais Magufuli, kuyasema aliyoyasema kumhusu Makonda, kuna wengi sasa wanasubiri kwa shauku kubwa Makonda atumbuliwe.

Kiukweli, watasubiri sana!.
Sababu pekee itakayofanya Makonda asitumbuliwe, ni kwa sababu huyu ni mpakwa mafuta. Ukiwa ni mpaka mafuta, then wewe ni mpakwa mafuta tuu, no matter what, hivyo haya yote yanayoendelea sasa kuhusu sakata la makontena ya Makonda, ni mapito tuu, hiyo kodi italipwa na maisha yataendelea.

By Pascal Mayalla

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. We mayala wewe Acha utani sijui wa masanza one au nasa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad