Wanawake wa Dar na Kupenda Hela Kwao...Soma Hii


MUME: Hallo my queen…
MKE: Nambiee..my darling
MUME: Nimekumiss honey.
MKE: Hata mie nimekumiss ile mbaya..
MUME: Samahani mke wangu leo sitaweza kurudi nyumbani.. nitakuja kesho asubuhi
MKE: Unasemaje?? na uishie hukohuko.. kalale kwa hao mahawara zako.. mwanaume mbaya wewe, kama sokwe.. sijui hata ni shetani gani alienishawishi hadi nikaolewa na sokwe kama wewe..
yaani najuta.. najuta.. sikupendi toka ndani ya moyo wangu..
sikupendi hata kidogo..naogopa hata watu kujua kuwa umenioa ..
naona aibu.
MUME: Punguza jazba mke wangu niko bank.. kuna foleni ndefu sana..
MKE: Ahh pole sana darling.. nakuonea huruma handsome wangu wa kipekee.. but baby usisahau kuniletea pesa kidogo.. ninashida na laki 2, alafu kuna ile elfu 70 anayonidai
mama amina leo alikuja kunikumbushia. nimekuandalia maji ya moto sweetie ukija uoge mume wangu kipenzi.. then ukumbuke kuniletea chips na kuku wa kuchoma gengeni.. nimeimiss sana.. nakupenda sana mfalme wangu..
MUME: Ni bank ya kuchangia damu.

MKE: Na wakutoe hiyo damu yote, bora ufe tu.. huna faida na si lolote.. nyooo… potelea mbali..mijitu mingine bhana..!!

HAO NDIO WANAWAKE WA KILEO WA DAR
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad