Wema Ajibu Tuhuma za Kuonekana na Roma Hotelini.

Wema Ajibu Tuhuma za Kuonekana na Roma Hotelini.
Msanii wa bongo fleve Roma amefunguka na kuongelea swala la  picha zilizosambaa akiwa na Wema hotelini huku tetesi kubwa ikiwa ni kwamba msanii huyo na madam walikuwa katika harakati za kufanya wimbo mpya.

Akiongea na waandishi, roma anasema kuwa sio kweli lakini walikutana hotelini hapo ambapo kila mmoja alikwenda kwa ajili ya shughuli zake ndipo walipokutana na kuamua kupga picha.

hiyo stori ya wema nilikutana nae mimi nilipokuwa naenda Ivan,  kula lunch , ndio moja mbili tukawa tumekutana hapo. na tukaanza kupiga stori na ndipo tulipopiga na zile picha.kwaio sio mchongo wa kichupa chochote ni familia tu.

Wiki iliyopt amsanii Roma na Stamina wameachia nyimbo mpya ambayo inafanya vizuri na kusumbua katikia vituo mbalimbali.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad