Alichokisema Zitto Kabwe Baada ya Lissu Kufikishwa Mwaka Toka Kushambuliwa

Alichokisema Zitto Kabwe Baada ya Lissu Kufikishwa Mwaka Toka Kushambuliwa
Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amewashauri Watanzania kusimamisha shughuli zao kwa dakika moja ifikapo saa 7 mchana leo Septemba 7, 2018 ili kumuombea Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu anayepatiwa matibabu nchini Ubelgiji.


Tundu Lissu akiwa na Zitto Kabwe (kulia)
Zitto ametoa ushauri huo kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikiwa leo ni mwaka mmoja umepita tangu Lissu ashambuliwe kwa risasi jijini Dodoma Septemba 7, 2018 majira ya saa 7 mchana akitokea bungeni kwenda nyumbani kwake Area D.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad