BOT Watoa Onyo Kali kwa Wanaodhihaki Pesa za Tanzania

Benki kuu ya Tanzania imewapa onyo kali watanzania wanaodhihaki fedha za Tanzania na kuwataka kuziheshimu kwa kuwa ni moja ya Alama ya Taifa na kuwaambia kuwa kudhihaki na kukejeri noti na sarafu ni kosa la jinai.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad