BREAKING: Msikilize Rais Magufuli Akizungumza na Taifa Kuhusu Ajali ya MV Nyerere


Rais wa Jamhuri ya Muungango wa Tanzania Dr John Magufuli amezungumza na Taifa kuhusu ajali ya MV Nyerere ambapo pamoja na kutoa pole kwa wafiwa  ametangaza siku 4 za maombolezo kuanzia leo Septemba 21, 2018

Msikilize hapo chini akiongea:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad