Breaking News: Kivuko cha MV Nyerere Kimezama Kikiwa na Abiria Wengi Ziwa Victoria


Taarifa iliyotufikia muda huu kutoka mkoani Mwanza ni kuwa Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa zikidai kilikuwa na watu 500 waliokuwemo ndani ya kivuko.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad