Diamond Aamua Kuweka Wazi Maisha Yake Ajitangaza Kuwa Single

 Diamond Aamua Kuweka Wazi Maisha Yake Ajitangaza Kuwa Single
Mwanamuziki mkubwa na mwenye jina kubwa afrika na duniani kwa ujumla kutoka Tanzania Diamond Platinumz ameamua kuweka wazi maisha yake ya sasa ya mahusiano na kusema kuwa kwa sasa hana mahusiano na mwanamke yoyote.


Diamond ambae amekuwa akisemwa kwa kuwa na mahusiano na wanawake wengi tofauti tofauti ameandika katika pag yake ya snapchat na kusema kuwa kwa sasa yeye ni single boy.

Ukiachana na kuwa amekuwa akitamaniwa na wanawake wengi sana , inawezekana ikawa nimojaya njia aliyoamua kuitumia ili kuwoanyesha baadhi ya wanawake kuwa kwa sasa yuko free na anatafuta mwanamke wa kuwa nae katika mahusiano.

Diamond ni moja ya wasaniiwanaoongoza kuwa na msululu wa wasichana ukiachana na wale ambao amekuwa akiwakana lakini wale tu mabao walikuwa wakijulikana kwa uwazi kutokana na kuyaanika mahusiano yake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad