Diamond Amuunga Mkono Jokate Kupitia ‘Tokomeza Zero’

Diamond Amuunga Mkono Jokate Kupitia ‘Tokomeza Zero’
Staa wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameingia Mkono jitihada za Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo katika kuboresha elimu.

Wiki iliyopita Jokate alitangaza kufany harambee kwa ajili ya maboresho ya elimu katika Shule ya Minaki siku ya Jumamosi.

Wasanii kadhaa wameunga Mkono jitihada hizo akiwemo Aliyekuwa mpenzi Msanii Diamond Platnumz ambaye Kupitia ukurasa wake wa Instagram amewataka wananchi mbali mbali kushiriki siku ya kesho.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad