Diamond Athibitisha Mpango wa Kumsign Msanii Mpya Kuziba Pengo la Rich Mavoko


#EXCLUSIVE: Staa wa Bongo Fleva, @diamondplatnumz amethibitisha kuwa kuna mpango wa kutangaza msanii mpya atakayesaini na lebo ya muizki ya @wcb_wasafi.

Katika kutoka sababu za hatua ya lebo yao kufanya hivyo, Diamond alisema kuwa ni katika kutoa nafasi nyingine kwa vijana ili waishi ndoto zao hasa kupitia sanaa ya muziki.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad