Dr. Slaa Hawezi Kuwa Shujaa Alikimbia Mapambano Kabla Vita Haijaisha


" Dr. Slaa hawezi kuwa shujaa kwakuwa alikimbia mapambano, yale aliyofanya wakati yuko kwenye chama cha CHADEMA alipaswa kuyafanya maana alikuwa analipwa na chama na chama kilimhudumia kila kitu hivyo ulikuwa wajibu wake kufanya maana alikuwa analipwa na chama" || Ameyasema hayo Sosopi Mwenyekiti BAVICHA
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad