Mange Kimambi Achafua Hali ya Hewa Avujisha Audio za Mapenzi za Petit Man na Mchepuko Wake Mnyarwanda Aliyempachika Mimba

Mange Kimambi  Achafua Hali ya Hewa Avujisha Audio ya Petit Man za Kimapenzi na Mwanamke Mnyarwanda Aliyempa Mimba
Kwa wale wanaopenda udaku leo litawakoma bando maana instagram imedamshi kama watoto wa mjini wanavyosema maana mange kimambi amechafua hali ya hewa kwa kuvujisha sauti za kimapenzi za Mume wake Esma ambaye ni Petiti Man akiwasiliana na mchepuko wake akimsifia kwa maneno mazito ya chumbani.

Udaku huu ulianza leo kupitia you head inayorushwa na cloud FM katika kipind cha XXL Mtangazaji soud Brown ametoboa siri nzito ya maisha ya petit man na Esma kuwa wameachana kutokana na petiti kumtandika mimba mwanamke mwingine ambaye inasemekana kuwa ni mnyaruanda.

Mumeo ananyonywa na wanyarwanda we umekaa kuongozana na msenge kufatilia wanawake wa kakako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ila Petit unaongea sexy jamani sio kwa wivu huo, yani unaongea na authority ya mwanaume utasema una hela, yani mpaka kizee mie nimepata hisia kali za mapenzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
.
.
Soudy Brown aibu yako voicenote zote hizi unazo ila hujatoa ubuyu una maana gani?

Soud alimhoji mwanadada huyo ambaye inasemekana anamimba ya Petit Man na kukili kuwa ana mimba ya petiti man  na kudai kuwa mwanzoni alikataa lakini kwa sasa amekubali mimba yake.

Kwa upande wa Petiti Man alionekana kukerwa na tuhuma hizo na kukataa kuzungumzia suala hilo na ugomvi wake na Esma ila alimtaka mwanamke huyo kama ana mimba basi azae kwani yeye awezi kumkataa mtoto.

Baada ya vuguvugu hilo muda mchache baadaye mange kimqambi aliingilia sakata hilo na kumtaka Soudy Brown kuacha kuficha taarifa hiyo na aifatilie vizuri na kumsihi aache kudanganya na viela anavyopewa ili kuziba sakata hilo.

Kupitia ukrasa wake wa instagram aliandika hivi

Alafu na wewe @soudybrown kumbe ubuyu wa Esma kuachika unao long time mpaka mtoto wa Kinyarwanda umeshamuhoji na kimimba chake alafu Petit akakupa vihela vya Dubai na story ukaikalia kimya. Mavoicenote yote unayo alafu ukaacha kulipua bomu. Kumbe huwa unachagua watu wa kuwaumbua anaekupa hela ubuyu wake unauzima? 😏 embu imalizie hii story, ruka nayo this week binti wa watu ana mimba eeeh na unajua. Unatuangusha wapenzi wa Shilawadu
.
.
Mnahangaika kusambaza audio za wengine huku zenu mnazibana.🤣🤣.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad