Mange Kimambi na Wastara Watibuana Tena "Ninakusubiri kwa Hamu Maana Nina Hamu na Wewe"

Mange Kimambi na Wastara Watibuana Tena "Ninakusubiri kwa Hamu Maana Nina Hamu na Wewe"
Muigizaji wa Bongo movie mwanamama Wastara Juma maarufu kama Wastara Sajuki ameingia katika sintofahamu na Mwanaharakati wa siasa mtandaoni Mange Kimambi.

Sakata kati ya Wastara na Mange Kimambi lilianza siku za nyuma mara baada ya kumtuhumu Wastara kwa Kula pesa za Michango ambayo alichangiwa na wananvhi kwa ajili ya kufanyiwa matibabu nchini India.

Siku ya jana Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Wastara alimmwagia povu zito Mange na kudai aliumizwa na madai yake ya kwamba alikula pesa za Michango na kusema Yupo Tayari kupambana naye kwani amemchafulia jina.

Asubuhi ya leo Mange aliandika Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa akipata muda lazima atampa kichambo Wastara na mara moja Wastara akajibu mashambulizi na kusema anamsubiri kwa hamu:

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Unahangaika na huyo Malaya wa ughaibuni anayeishi kwa kuuza mwili? Temana naye fanya mambo yako ya msingi maisha yasonge

    ReplyDelete
  2. Anaishi kwa KIKI kuna watu hapo bongo wanampa siri za maisha ya watu na kuanza kuwalipua kujitengeneza ki super* ni KAHABA MZOEFU HUYO ANAKARIBIA KUSTAAFU

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad