Masanja Amuonya Kanye West Amwambia Aache Bangi

Masanja Amuonya Kanye West Amwambia Aache Bangi
UNAWEZA kujiuliza inawezekana kweli msanii wa vichekesho ambaye pia ni mchungaji, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ameweza ‘kumfyatukia’ rapa kutoka Marekani, Kanye West kwa kumwambia aache bangi?

Kama ulikuwa hujui, jua sasa; hii imetokea juzi tu katika ukurasa wa kijamii wa Twitter wa Kanye West ambapo rapa huyu aliandika maneno matatu tu; ‘We are Gods’ akimaanisha, ‘Sisi ni Miungu’ ndipo povu kubwa likaanza kumtoka Masanja kwa kumjibu kwa Kiswahili (sijui sasa kama ujumbe ulikuwa unamfikia).

Masanja aliandika meseji hizi za kumjibu Kanye West; “Huwaga una umama sana.”“Acha kuvuta bangi.”“Wewe ni kenge.”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad