Meneja Afunguka Kuhusu Ufreemason wa Davido

Meneja Afunguka Kuhusu Ufreemason wa Davido
MENEJA wa staa wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’, Asa Asika amekanusha tetesi zilizoenea wiki iliyopita dhidi ya Davido kuwa ni mmoja kati ya watu wanaoabudu katika madhehebu ya siri yaani ‘Freemason’ baada ya Tobi Adegoke ambaye alishawishiwa kujiunga katika Kundi la Black Axe Cult kwa ahadi kuwa itakuwa rahisi kwake kuonana na Davido.



Kijana huyo ambaye alikamatwa wiki iliyopita na hadi sasa yupo kituo cha polisi cha Lagos nchini humo alisema alidanganyika na watu waliomuambia kuwa akijiunga huko itakuwa rahisi kuonana na Davido na akishaonana naye itamsaidia ‘kumboost’ katika muziki wake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad