Miriam Odemba Amtolea Povu Zito Diamond Platnumz


Mlimbwende mkongwe Tanzania Miriam Odemba amemjia juu staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz baada ya kudai amemfhalilisha mama mtoto wake Hamisa Mobetto.

Miriam Odemba ameibuka na kumpa vipande vyake kuwa, hakustahili kumsema vibaya mzazi mwenzake, Hamisa Mobeto kwa kumrushia tuhuma nzito ambazo zimemfanya

Kwenye mahojiano na Risasi Jumamosi akiwa nchini Ufaransa, Odemba alisema kuwa hakuna kitu kibaya kama kumtolea maneno ya kashfa mzazi mwenzio na hata kama kuna sehemu aliteleza, busara inatakiwa kutumika:

Yaani mimi sijapendezwa kabisa na alivyofanya Diamond, kwa maana anapaswa kuheshimu hata kile kiumbe kilichowaunganisha. Kama kuna matatizo ya kifamilia ni vyema kukaa chini na kumalizana, lakini siyo kuyaweka kwenye kadamnasi kama alivyofanya Diamond. Kuna siku watakutana kama wazazi, hivi atajisikiaje? Amekosea sana”.


I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad