Mrembo Aliyechora Tattoo Ya Jina La Wema Afunguka

Mrembo Aliyechora Tattoo Ya Jina La Wema Afunguka
Msanii wa Bongo movie anayejulikana kama Diana Kimary amefunguka na kueleza sababu hasa za kuchora Tattoo ya Jina la Msanii Wema Sepetu Kwenye mwili wake.

Siku ya jana Diana alitengeneza headlines baada ya video iliyomuonyesha akiwa amechora tattoo hiyo kusambaa Kwenye mitandao ya kijamii na kupelekea gumzo.

Kwenye mahojiano na Sam Misago Tv, Diana amefunguka kuhusu Tattoo hiyo na kusema ameamua kumchora Wema kwa sababu mbali na urafiki Lakini pia ni dada yake na anampenda Sana.

Nampenda sana Wema kwa sababu amekuwa dada mzuri kwenye Maisha Yangu”.

Hii siyo mara ya kwanza kwa Tanzania sweetheart Wema Sepetu kuchorwa Kwenye mwili wa mtu kwani miaka ya nyuma Kajala Masanja alishwahi kuchora Tattoo kubwa yenye Jina la Wema lakini baada ya ushoga kuisha aliifuta.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad