Mzee wa Upako Amchana Vibaya TB Joshua "Yule ni Tapeli Mkubwa"


"Yule TB Joshua ni tapeli tu, kama angekuwa nabii si angeona jengo lake lile linavyoanguka? Pia nchini kwake kuna wale mabinti waliotekwa kipindi kile ameshindwa kuwakomboa sasa mtu kama huyo unamuamini vipi? si mliona alimtabiria yule mama Hillary atakuwa Rais lakini akakosea hata hapa nchini si alitabiria watu watano watakuwa marais katika hali ya kawaida nchi itaongozwaje na marais wote hao ? || Ameyasema hayo Mzee wa Upako kuhusu Utapeli wa TB Joshua.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad