Sakata La Muna Kutelekeza Mtoto Lachukua Sura Mpya Aliyezambaza Taarifa Hizo Mikononi mwa Polisi

Sakata La Muna Kutelekeza Mtoto Lachukua Sura Mpya Aliyezambzaz Taarifa Hizo Mikononi mwa Polisi
Siku mbili zilizopita stori iliyotawala Kwenye mitandao ya kijamii ni Tetesi za Mwanamuziki wa nyimbo za Injili Rose Alphonce maarufu kama Muna Love.

Global Publishers waliripoti kuwa ndugu wa karibu wa Muna ndio wamemnyooshea kidole kwa kitendo chake cha kumtelekeza mtoto wake Nyumbani kwao Moshi.

Baada ya taarifa hizo kuzagaa Mtandaoni Muna alikana kabisa na kusisitiza wanaosambaza taarifa hizo wana nia moja tu ya kumchafua ili aonekane mbaya.

Siku ya leo Muna Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa Mtu ambaye amesambaza taarifa hizo yuko mikononi mwa polisi na ambaye amemtuma ni mama yake mzazi na dada yake:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad