Simba Kufungwa na Mbao Leo...Haji Manara Kawaomba Watanzania Msamaha


From @hajismanara - Bodi ya Wakurugenzi,Sekretarieti,Benchi la Ufundi na wachezaji wa klabu ya Simba,wanawaomba radhi Wanachama na Washabiki wetu kwa matokeo ya leo. Tumeumia sote na tunawaomba mjue hii ni mechi ya nne tu..tutafanya maamuzi sahihi bila pressure kwa maslahi MAKUBWA ya Timu na klabu..nawaomba mtulie ktk kipindi hiki
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad