Ujumbe wa Zari Waibua Hisia Tofauti Sakala la Hamissa Mobetto

Ujumbe wa Zari Waibua Hisia Tofauti Sakala la Hamissa Mobetto
Mashabiki wengi wameupokea kwa furaha ujumbe wa Zari the Bosslady kwa kile wanachoamini ujumbe huo unamlenga Hamisa Mobetto.

Zari The Bosslady ametumia ukurasa wake wa Instagram kueleza kuwa; 'Usimpe mtu yeyote nguvu ya kuchagua kati yako na mtu mwingine... kama hukubaliki, ondoka na usiangalie nyuma na wala usimweleze mtu. Situmi chochote zaidi ya upendo kwako , Sasa futa machozi na urekebishe,'.

"Never give anyone the power to 'choose' between you and someone else. If they can't decide, decide for them. Walk it away and never look back. Go where your celebrated. Don't even explain i to anyone, your journey is yours. NOBODY has to understand it but YOU. Sending nothing but love you sis in TZ, Now wipe those tears and fix that.


Ujumbe huo wa Zari unakuja ikiwa ni hivi karibuni Hamisa Mobetto ameingia kwenye shutuma nzito kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akipanga njama za kumloga Diamond Platnumz na familia yake.

Zari the Bosslady aliwahi kuingia kwenye vita  kali ya maneno na Hamisa Mobetto baada ya Hamisa kuzaa na Diamond wakati akijua kwa wakati huo alikuwa kwenye mahusiano na Zari na tayari walikuwa wameshapata watoto wawili.

Ujumbe huo wa Zari unakuja ikiwa ni hivi karibuni Hamisa Mobetto ameingia kwenye shutuma nzito kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akipanga njama za kumloga Diamond Platnumz na familia yake.

Zari the Bosslady aliwahi kuingia kwenye vita  kali ya maneno na Hamisa Mobetto baada ya Hamisa kuzaa na Diamond wakati akijua kwa wakati huo alikuwa kwenye mahusiano na Zari na tayari walikuwa wameshapata watoto wawili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad