VIDEO: Athari za kuhamia DODOMA zatajwa | Rais Anamkimbia Kamishna TRA | Wamataka Magufuli Kubadili mawazo

Kufuatia agizo ambalo lilitolewa na Rais Magufuli ambalo limeshaanza kufanyiwa kazi linalohusu serikali huhamia dodoma Baraza la wazee Chadema wameshindwa kulikalia kimya na kulitafakari hatimaye wameleta taarifa ya athari ambazo zinaweza kujitokeza endapo serikali itahamia dodoma.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad