Waziri Kigwangalla Aipokea Gold Ya Barnaba


Na Andrew Chale, Dar
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.Hamisi Kigwangalla amempongeza msanii nyota wa kizazi kipya nchini Bongo flava Elias Barnaba maarufu kama kwa Barnaba Classic kwa hatua yake ya kutoa albam ya Gold ambayo itasaidia kukumtangaza zaidi kwenye medani za muziki ndani na nje ya nchi.

Waziri Dkt. Kigwangalla amesema hayo jana Septemba 6,2018 wakati alipotembelewa na msanii huyo katika wodi ya Taasisi ya Mifupa MOI anapopatiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto aliopata ajali Agosti 4, na kumkabidhi rasmi CD ya album yake ya GOLD ambayo imeingia sokoni 31 August mwaka huu.

Katika hatua hiyo Waziri alimshukuru kwa kumtembelea ambapo pia alimpatia ushauri namna bora ya kuiuza albam hiyo ya GOLD ikiwemo soko la kimataifa.

“Nilipata mwaliko wako wa uzinduzi wa albam ya Gold. Bahati mbaya sikuweza kufika kutokana na ajari. Lakini naendelea vizuri na nashukuru kwa kufika kuja kuniona na kunikabidhi rasmi..natambua wasanii pia ni nguzo katika kukuza Utalii wetu ikiwemo kuutangaza kupitia ala na mashahiri yenu na ndio maana mwezi huu wa Septemba tunakuja na tamasha la Urithi ambalo Wasanii wamepewa nafasi ya kipekee” alieleza Waziri Dkt.Kigwangalla.

Kwa upande wake Barnaba alimshukuru Waziri Dkt Kigwangalla kwa kuipokea Album hiyo ambayo imezingatia vigezo vyote na ubora wa hali ya juu.

“Kwanza nikupe pole kwa ajali. Naamini wasanii na wadau wote tunakuombea upone haraka na urejee kwenye majukumu yako ya kila siku ya kukuza Maliasili zetu na Utalii kwa ujumla na upokee albam hii ya Gold ikuburudishe unapoendelea kuuguza majeraha, Asante Sana” alisema Msanii huyo wakati wa kumkabidhi Albam hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa Msanii huyo Michael Mlingwa Mxcater amesema albam hiyo iliyosheheni nyimbo Bora na kali zikiwemo Chausiku, Lover Boy na nyingine nyingi inapatikana katika maduka ya mtandao yaani (Online) kupitia Boomplay Music.

“Kwa watumiaji wa simu za smartphone wanaweza kuipakua kupitia App ya BoomplayMusic_tz na wataipata moja kwa moja” alisema Mxcater.
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Good news!!! Good news!!!, Do you want to live a rich,healthy and famous
    life. Do you want to get rich immediately and be out of suffering? Do you
    want the world to recognize you and listen to you when you speak? do you
    want to be in power and control? if yes, here is a good tip just join the
    “ILLUMINATI ORGANISATION”, you may ask “How Can I Join” , the answer is
    simple all you have to do is to contact us to ELEVATE YOURSELF FROM
    POVERTY..

    Do not hesitate to contact us.

    Phone number Text / Whatsapp: +1(706)804-2665

    Email : illuminati666officialcult@gmail.com


    BEWARE OF SCAMMERS, THERE IS NO SUCH THING AS REGISTRATION FEE AND YOU MUST
    BE ABOVE THE AGE OF 18YRS.

    THANKS…….
    TEAM REGARDS
    PLAN ILLUMINATION

    ReplyDelete
    Replies
    1. Good news!!! Good news!!!, Do you want to live a rich,healthy and famous
      life. Do you want to get rich immediately and be out of suffering? Do you
      want the world to recognize you and listen to you when you speak? do you
      want to be in power and control? if yes, here is a good tip just join the
      “ILLUMINATI ORGANISATION”, you may ask “How Can I Join” , the answer is
      simple all you have to do is to contact us to ELEVATE YOURSELF FROM
      POVERTY..

      Do not hesitate to contact us.

      Phone number Text / Whatsapp: +1(706)804-2665

      Email : illuminati666officialcult@gmail.com


      BEWARE OF SCAMMERS, THERE IS NO SUCH THING AS REGISTRATION FEE AND YOU MUST
      BE ABOVE THE AGE OF 18YRS.

      THANKS…….
      TEAM REGARDS
      PLAN ILLUMINATION

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad