Zoezi la Kubinua Kivuko cha MV. NYERERE Limefikia Pazuri..Tazama Video

Leo September 24, 2018 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Venance Mabeyo amesema zoezi la kukinasua Kivuko cha Mv. Nyerere limefikia pazuri tayari wamekiinua upande mmoja na wana matumaini kitatoka vizuri.

“Wameanza kukinyanyua kwenye injini, ili kukinyanyuliwa kije juu kielee lakini sasa kinafungwa maboya kwa chini, tunaandaa pampu ili kikichota maji yaweze kunyonywa, tuwe na matumaini kivuko kitatoka vizuri” -Mabeyo
VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad