Ajali Mbaya Gari Dogo Lagongana Uso kwa Uso na Basi


Aliyefariki ni dereva wa gari aina ya Land Cruiser iliyogongana uso kwa uso na basi hilo

Inaelezwa kuwa Dereva huyo alikuwa akijaribu kulipita Lori lililokuwa mbele yake bila ya tahadhari

Ajali hii iliyosababisha majeruhi wawili imetokea wilayani Kakonko mkoani Kigoma
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad