Baada ya Mwaka Mmoja wa Uraiani Papii Kocha Apata Mtoto wa Kike

Baada ya Mwaka Mmoja wa Uraiani Papii Kocha Apata Mtoto wa Kike
Msanii wa muziki wa dansi papii kocha ametangaza katika ukurasa wake wa instagram kuwa siku ya leo amebahatika kupata mtoto wa kike .Papii kocha ambae kwa sasa ana zaidi ya mwaka mmoja uraiani baada ya kutoka jela alipokwekwa kwa kifungo cha maisha lakini alitolewa kwa msamaha wa rais.

Ikumbukwe kuwa kipindi papii anakwenda jela aliacha mke na mtoto mmoja wa kike, mtoto ambae mpoaka sasa ameshafikia umri wa utu uzima na kumkuta mke wake tayari alshaolewa na mwanaume mwingine.

Papii kocha atakuwa anatimiza idadi ya watoto wa wili wa kike ambae wa kwanza alimpata kabla hajakwenda gerezani, hatahivyo mama wa mtoto huyo bado hajuajulikana na hakutaka kumtangaza.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad