Dogo Janja Atangaza Zawadi ya Mjukuu kwa Mama Yake

Dogo Janja Atangaza Zawadi ya Mjukuu kwa Mama Yake
Msanii Dogo Janja katika hali isiyo ya kuhaminika kwa mashabiki wake aliweka picha ya mama yake mzazi huku akisema kuwa ni muda muafaka sasa wa yeye kumletea mama yake mzazi mjukuu kwa sasa kwa sababu mama yake anaanza kuzeeka.

Dogo janja anasema hivyo ikiwa imepita siku chache tu tangu kuvunjika kwa ndoa yake na mwanadada Irene uwoya hivyo hii inazua gumzo kwa mashabiki wake kwa sababu kutangaza uwepo wa mjukuuu ni ishara ya kujiamini na jambo hilo huku ikitaka kujulikana mwanamke anamletea mama yake mzazi Dogo janja mjukuu.

Msanii huyo ambae tang kumekuwa na skendo za kuachan na mke wake amekuwa akionekna yupo karibu na nyumbani kwao Arusha huku ikisemwa kuwa nyumba aliyokuwa akikaa na me wake inaoneknana kwa sasa haina mtu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad