Esha Buheti Amchana Wema Kwa Picha Chafu Alizovujisha



Muigizaji wa Bongo movie Esha Buheti ameibuka na kumchana Msanii mwenzake Wema Sepetu baada ya kuvujisha picha na video chafu zinazomuonyesha yeye na mume wake mtarajiwa.

Siku ya jana Wema alitengeneza headlines baada ya kumtambulisha mwanaume anayetambulika kama Patrick na kusema ndiye mume wake mtarajiwa lakini baada ya kuposti video iliyowaonyesha wawili hao wakibusiana ilizua gumzo zaidi.

Esha Buheti ambaye ni rafiki mkubwa wa Wema alishindwa kuvumilia na kumuandikia barua ya wazi ambapo amemchana laivu na kumtaka aache kufanya mambo ambayo yanamuaibisha.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Esha Buheti aliandika ujumbe huu:


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad