Faiza Ally "Naenda Kwa Mashekhe Ili Sugu Amuone Mtoto Wake"

Muigizaji wa Bongo movie na mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, Faiza Ally ameibuka na madai mazito kwamba anamuendea kwa wataalamu Sugu ili amuone mtoto wake.

Faiza na Sugu wamekuwa Kwenye ugomvi wa muda mrefu Kwenye mitandao ya kijamii ambapo wamekuwa wakitushiana maneno na matusi huku mara nyingi Faiza amekuwa akimtuhumu Sugu kwa kutotoa pesa za matumizi ya mtoto wao Sasha.

Lakini sasa Faiza anamrushia tuhuma nzito Sugu na kudai Mke wa Sugu anayejulikana kama Happy ndiye anamloga Sugu ili akatae kumuona mtoto wao na kumuhudumia.

Faiza ameweka wazi kuwa kwa miaka mingi amekuwa anaenda kwa mashekhe ili Sugu asomewe dua na amesema akishasomewa tu dua ndio huweza kumuona mtoto wao kama adipofanya hayo basi Sugu humsahau kabisa mtoto wake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Faiza ameandika:


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad