Hans Poppe Kufikishwa Mahakamani leo

Hans Poppe Kufikishwa Mahakamani leo
Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Zacharia Hans Poppe atafikishwa mahakamani leo kujibu kesi inayomkabili ya kugushi nyaraka na utakatishaji wa fedha.


Hans Poppe amerejea nchini na kujisalimisha kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.


Hans Poppe ataunganishwa kwenye kesi ya kugushi nyaraka na utakatishaji inayowakabiri Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.

Ndugu yake wa karibu amesema Hans Poppe aliamua kurejea baada ya matibabu.


"Amerejea akijua atakamatwa, ukisema amejisalimisha kwa lengo la kuona kesi inasikilizwa kwa kuwa anaamini hana tatizo," alisema ndugu yake wa karibu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad