Jokate Atengeneza Uadui na Manara Kisa Yanga.

Mwanadada ambae amekuwa akijihusisha na mambo megi sana katika jamii ikiwepo biashara, siasa fashion nahata mpira  Jokate Mwegelo ameamua kutuma salamu za  upinzani kwa mhasimu wake mkubwa mabe pia ni moja ya viongozi wakubwa kwa timu ya Simba Hajis manara kutokana na mchezo ambaeulichezwa wikiend hii kati ya Simba na Yanga.

Jokate ambae ni shabiki wa yanga anasema kuwa pamoja na kwamba yeye na haji ni marafiki lakini kwake hilo hatojali kutokana na uadui wako katika swala la upinzani wa kimpira mpaka pale dakika 90 zitakapo isha.

Jokate alisema “samahani sana Haji, Haji wewe ni rafiki yangu sana lakini inabidi utambue  na kukubali kuwa yangu ni timu bora kabisa ya taifa, tumepitia wakati mgumu sana na tunaamini  yatakweisha kabisa”Alisema jokate alipokuwa akiongea na Wasafi Tv.

Hata hivyo kabla ya mchezo huo, Jokate aliitabiria yangu kuifunga sima 3-0 lakini baada mchezo walitoka Droo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad