Kajala Aonyesha Jeuri ya Pesa Amwaga Milioni 16 Kununua Vito Vya Thamani

Kajala Aonyesha Jeuri ya Pesa Amwaga Milioni 16 Kununua Vito Vya Thamani
Muigizaji wa Bongo movie na Mtangazaji Kajala Masanja ameweka wazi kuwa ametumia zaidi ya Milioni kumi na Sita kununua vito vya thamani.

Kajala ameteketeza Milioni kumi na Sita kununua saa yake ya mkononi ambayo inamchanganyiko wa dhahabu na almasi pamoja na bangili ambazo amedai alizipenda sana.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, Kajala alisema kuwa, alinunua saa hiyo na bangili wakati akiwa nchini Dubai na alifanya hivyo kwa sababu aliipenda sana seti hiyo na ni moja ya vitu ambavyo anapenda kuwa navyo.

Unajua naweza kupenda kitu leo nikawa nachanganyikiwa nacho kabisa maana nilitokea kuvipenda nikasema nikirudi mara ya pili nitanunua maana mara ya kwanza hela yangu haikutosha”.

Kajala anatajwa kuwa na mkwanja mrefu kutokana na kazi yake ya ubalozi wa Biko Lakini pia kupitia sanaa ya uigizaji.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad