Kesi ya Uhaini Inayomkabili Mbunge Bobi Wine Yasogezwa Mbele

Kesi ya Uhaini Inayomkabili Mbunge Bobi Wine Yasogezwa Mbele
Mahakama mjini Gulu nchini Uganda imeahirisha kusikizwa kwa kesi ya uhaini dhidi ya mbunge wa Kyadondo East Bobi Wine na watu wengine 34 hadi tarehe 3 Desemba.


Upande wa mashtaka umemuomba hakimu mkuu muda zaidi kukamilisha uchunguzi wake.

Bobi Wine na wenzake wanadai kuhatarisha maisha ya Rais Yoweri Museveni waliposhambulia msafara wake katika uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Arua.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad