MAAJABU…. Jogoo aliyenyonyolewa manyoya na kuvishwa 'hirizi' Kanaswa Stendi Ya Mabasi Tabora

MAAJABU…. Jogoo aliyenyonyolewa manyoya na kuvishwa 'hirizi' Kanaswa Stendi Ya Mabasi Tabora
Shuhudia jogoo aliyenyonyolewa manyoya yote akiwa hai na kuzua mshangao katika Stendi ya mabasi mkoani Tabora.

Meneja wa Kituo  hicho kaamua kumchukua na kumgeuza kitoweo bila kuogopa hayo mahirizi yake.  Tazama apo chini

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad