Manesi Walalamika Kuchunguliwa Nguo zao za Ndani na Wagonjwa Wakiume Hospitalini

Wauguzi wa kike katika hospitali ya Kenyatta nchini Kenya wamelalamikia kunyanyaswa kingono na wagonjwa wa kiume waliolazwa hospitali hapo, wengine huwachungulia nguo zao za ndani wanapokuwa wameinama kuhudumia wagonjwa wengine, na pia huwataka kulala nao kufanya nao ngono.

Toa maoni yako
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad