Mbasha Amtolea Povu Zito Mc Pilipili Kuhusu Mahusiano na Uokovu

Mbasha Amtolea Povu Zito Mc Pilipili Kuhusu Mahusiano na Uokovu

Msanii wa nyimbo za injili Emmanuel Mbasha amefunguka na kuonyeshwa na tabia  ya baadhi ya watu wanaojiita kuwa wameokoka lakini wamekuwa wakifanya mambo kinyume na uokovu wanaosema wanaishi.

Emmanuel ameonyeshwa kuchukizwa na tabia ya Mc pilpili na mpenzi wake kuwa karibu kila mahala wakati kwa sheria za kanisa watu hao hawaruhusiiw kuwa karibu hata kama wameshatoleana mahali mpaka pale wawili hao watakapo halalishwa kanisani.

Mc pilipili anasema kuwa anataka kuwafatilia kwa karibu watu hao kwa sababu wamekuwa wakiongozana sana na hii inadhalilsha sana uokovu hivyo wanapaswa kukaa mbali na ikibidi msichana kuamia kwa uongzoi wa kanisa mpaka pale wawili hao watakapofunga ndoa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad