Muunguzi Ambaka Bibi Kizee wa Miaka 72 Wodini..


Raia wa Kenya Thomas Kamau Nganga ambaye ni nesi huko nchini Marekani, amekutwa na wafanyakazi wenzake akimbaka kikongwe mwenye miaka 72, mwenye matatizo ya kupoteza kumbukumbu hospitalini hapo.
Nesi huyo kwa sasa anashikiliwa na polisi wa nchini humo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad