Mwanamke Akiri Kutembea na Wanaume 100 na Kurekodi Video za Ngono...Apima Ukimwi

Catherine Njeri wa Kenya amesimulia mkasa wake kwamba ameshawahi kkufanya mapenzi na wanaume zaidi ya 100, kurekodi video ya ngono na kujaribu kujiua zaidi ya mara tano lakini hakufa. Na alipokuwa akiona matangazo
ya vifo kwenye magazeti alikuwa anawaonea wivu waliokufa kwani yeye ameshajaribu na kujaribu ila hafi.

Kikubwa anamshukuru Mungu alikwenda
kupima HIV na kukutwa hana maambukizi na hivi sasa anatamani apate mwanaume amuoe aanzishe familia.

Toa maoni yako
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ni sahihi bora aolewe tu maana MUNGU amem epusha na mengi sana

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad