“Sitosahau Mbudya, Nilikuwa Najua Nimeshakufa” Ben Pol

Muimbaji Ben Pol amesimulia yaliyowai kumkuta alipopata ajali ya kuzama majini pindi alivyowai kwenda Mbudya kutembea ikiwa ni siku chache toka mtayarishaji wa muziki wa bongofleva Pacho Latino apoteze maisha ambapo amesema kwamba ajali aliyowai kuipata Mbudya ilimfanya asipasahau.

Bonyeza PLAY hapa chini kutazama Video

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad