Tanzia: Mtangazaji Nguli wa Michezo, Ahmed Kongo Afariki Dunia


Alijizolea umaarufu kwa kutangaza matangazo ya moja kwa moja ya mpira wa miguu nchini.

Ahmed Jongo amefariki dunia leo. Alistaafu kazi ya utangazaji mwaka 2005

Alifanya kazi kwa muda mrefu Redio Tanzania kabla ya kubadilishwa jina na kuwa TBC

Picha kwa hisani ya Azam TV
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad