Tunda Ageuka Mbogo "Sitaki Kuhusishwa na Diamond Kwa Njia Yoyote''

Tunda Ageuka Mbogo "Sitaki Kuhusishwa na Diamond Kwa Njia Yoyote''
Video vixen maarufu Kwenye mitandao ya kijamii Anastasia Sebastian Kimaromaarufu kama Tunda amefunguka na kutoa tamko la kutotoa kuhusishwa na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Tunda ameongea hayo Ikiwa siku chache tangu taarifa zienee Kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Mrembo mwingine maarufu kama Officiallyn wanagombania penzi la staa huyo.

Wiki iliyopita kuna video ilisambaa Social Media iliyomuonyesha Tunda akibambuwa na Diamond katika Private Birthday party yake.

Tunda ambaye ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond katika siku za nyuma amesema hana Mahusiano kwa sasa na Diamond na wala hamgombanii na mtu bali ni rafiki tu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tunda ameandika posti hii:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad