Ajali ya Gari Yaua Watu sita Eneo la Segera

Ajali ya Gari Yaua Watu sita Eneo la Segera
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine saba wamejeruhiwa baada ya basi lenye namba za usajili T 124 DHW aina ya Coaster iliyokuwa ikitokea Mkata kuelekea Dar es Salaam kuligonga kwa nyuma lori ambalo lilikuwa limeegeshwa kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo lenye namba za nchi jirani (KDZ 746C) aina ya Fao, katika barabara ya Segera.



Kamishna Msaidizi wa Polisi Wankyo Nyigesa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na amesema Miili ya Marehemu imehifadhiwa katika hospitali ya Bagamoyo ikisubiri uchunguzi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad