Amber Rutty Apata Mtu wa Kumtolea Dhamana.

Amber Rutty Apata Mtu wa Kumtolea Dhamana.
Mwanadada Amber Rutty ambae alikuwa katikakesi na mpenzi wake baaada ya kukutwa na hatia ya kurekodi na kusambaza video zilizokuwa zikiwaonyesha wakifanya mapenzi kinyume na maumbile amepata mdamini wa kumdhamini baada ya kusota rumande kwa muda mrefu kwa kukosa dhamana.

Amber Rutty ambae ni msanii na pia video vixen alikutwa na kashfa hiyo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile akiwa na mpezi wake huyo na kisha kujirekodi na  kuvujisha picha hizo wamesota rumande kwa muda mrefu na hatimaye yeye kupata dhamana huku akimwacha mpenzi wake akiwa bado anasota rumande.

Mwanaume huyo ambae mpaka sasa hajajulikana ana mahusiano gani na mwanadada huyo amjitokeza na kumtolea dhamana hivyo kuwa huru kwa dhamana.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad