Breaking: Daraja Lililopo Kati ya Ziba na Nzega Limekatika, Njia Haipitiki


Daraja la Iduguta limekatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Tabora

Inashauriwa Wasafiri wanaoelekea mkoa wa Dar es Salaam waende moja kwa moja hadi Tabora ili wapitie Itigi

Aidha, wanaoelekea Arusha waende mpaka Puge wapitie Nkinga hospitali kisha watokee Ziba au Nyandekwa na kuendelea na safari

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad