CAF Imetangaza Majina ya Wachezaji watakaowania Tuzo ya Mchezaji Bora 2018

CAF Imetangaza Majina ya Wachezaji watakaowania Tuzo ya Mchezaji Bora 2018

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limetangaza majina 34 ya wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume mwaka 2018. Pia kuna majina ya wachezaji 15 wa kike, wachezaji 6 vijana na makocha 10. Tuzo hizo zitatolewa Januari 8, 2019 jijini Dakar, Senegal.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad